iqna

IQNA

hijria shamsia
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maadui wanapinga Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini (MA), na maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu kila mwaka, sambamba na kuupinga mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran; na kusisitiza kuwa, lengo la maadui ni kubadilisha utambulisho wa taifa hili na Mapinduzi ya Kiislamu, na badala yake walete demokrasia bandia ya Kimagharibi.
Habari ID: 3476740    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22

Ustaarabu
TEHRAN (IQNA)- Mwaka mpya wa Kiirani Hijria Shamsia wa 1402 unaanza 21 Machi 2023 Miladia. Siku za kuanza mwaka mpya wa Kiirani hujulikana kama Nowruz au Nairuzi kwa lugha ya Kiswahili na huadhimishwa kwa furaha na shangwe kote Iran na nchi zinazozungumza Kifarsi pamoja na mataifa yote ambayo kwa njia moja au nyingine yana uhusiano na ustaarabu na utamaduni wa Iran.
Habari ID: 3476733    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/20

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa kuanza mwaka mpya wa 1396 Hijria Shamsia akiwapongeza Wairani na Waislamu kote duniani kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa Bibi Fatima Zahra SA na Sikukuu ya Nowruz na ameupa mwaka mpya jina la Mwaka wa Uchumi wa Kimapambano, Uzalishaji na Ajira.
Habari ID: 3470902    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/20

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa mkono wa kheri na fanaka Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa kuwadia mwaka mpya wa 1395 Hijria Shamsia.
Habari ID: 3470209    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/22

Tarehe 20 au 21 Machi husadifiana na tarehe Mosi Farvardin, siku ya kuanza mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia, siku ambayo ni maarufu kama Nowruz au kwa Kiswahili Nairuzi. Kuwadia kwa mwaka mpya wa Hijria Shamsia ambao aghalabu huadhimishwa Iran huenda sambamba na kuingia msimu wa machipuo na mabadiliko katika miti, mimea maua na majani.
Habari ID: 3470204    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/18